Sunday, May 13, 2018

NAONGEA NA WEWE!! UNAECHEZEA WANAWAKE


wewe ambae miaka mitano ya uchumba
ushamfunuafunua mtoto wa watu kama sufuria la pilau msibani, unamjua mwili wake kama unavyojua mabeti ya wimbo wa Taifa,mtoto wa watu amewakataa wanaume wengi Amepoteza muda wake kwaajili yako Amekuamini wewe ametulia anajua ndoa inafuata hivi karibuni halafu wewe ghafla tu unakuja kumzingua na kutangaza ndoa na mtu mwingine, akikuuliza sababu ya kumuacha yeye unasema siwezi kuoa mwanamke hajui kukatika kitandani nataka kuoa fundi wa kumiliki kitanda, Ulimfundisha??
kwani unaoa mke wa kujenga nae Familia au unaoa mke wa kwenda kufungua bendi ya kukata viuno??
maana kama nia yako ni kupata mke anaekatika basi ungeenda kuoa wanenguaji kwenye bendi ya Akudo Impact,mnaumiza watoto wa watu kibwegebwege na sababu za kijinga,kwani utakula kiuno
All Ur Life?? Au mtajenga uchumi wa Familia kwa kukatika kitandani?? Acha kucheza na hisia za wanawake wewe nimetupa jiwe GIZANI kama LIMEKUGUSA BADILIKA ACHA IYO TABIA NAWAPENDA WANAFAMILIA WOTE!!!

No comments:

Post a Comment