Sunday, May 13, 2018

SABABU TISA (9) ZINAZOPELEKEA WATU KUFA MAPEMA ZAIDI



1.Kuangalia TV/Computer zaidi ya masaa 2 au 3.
2.Kula vyakula visivyokuwa na lishe ambavyo ni sawa na makapi.
3.Kulala kidogo au kulala sana. (Kitaalamu wastani wa muda wa kulala kwa mtu mzima ni masaa 7 mpaka 9)
4.Kuwa na mawazo mengi ya kazi au kifamilia.
5.Kuwa mpweke (kukaa bila marafiki.)
6.Kuishi bila mpenzi kwa muda mrefu.
7.Kuishi bila kuwa na furaha  (Kucheka.)
8.Kukaa mahali kwa zaidi masaa 4 au 5 au zaidi ya hayo.
9.Kuishi kwa hofu.

Namba ngapi imegusa upande wako?


No comments:

Post a Comment